sw.news

Francis Kuhusu Wasioamini Uwepo Wa Mungu, "Yuko Mbinguni, Nina Uhakika."

Wakati wa ziara yake kwenye Parokia ya Corviale (Aprili 15), Popa Francis alikutana na mvulana mmoja aitwaye Emanuele wambaye alimwendea Francisa na kusema, "Baba yangu ameaga dunia, alikuwa mwema, hakuamini uwepo wa Mungu ila aliwafanya watoto wake wote wabatizwe ingawaje hana imani. Je, baba yangu yuko Mbinguni?"

Francis alimjibu kwa swali balagha: " Je, Mungu mwenye roho ya baba, anaweza kumwacha baba asiye na imani ambaye aliwafanya watoto wake wakabatizwa?"

Na. "Mungu ana roho ya baba, babayako alikuwa mtu mwema, yuko Mbinguni naye, nina uhakika,"

Kulingana na kitabu cha Marko 16:16 "Yeyote asiye na imani ataangamizwa."

#newsRejkhrdoll

06:23
74